Karibu kwenye blogu yetu yenye habari, picha na matukio mbalimbali yakiwemo ya harusi na mitindo. Kwa kuwa ni blogu ya jamii tunakaribisha maoni kutoka kwako. Tutumie habari na picha za harusi, mitindo na maelezo yake au maoni kupitia; mushijoa@gmail.com / hilder_mwaipopo@yahoo.com au Simu;- 0717030066/ 0756469470.
Saturday, September 12, 2015
KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU
caption i
KatibuMkuuwaWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi, MbarakAbdulwakil(kulia), akizungumzanawatumishimbalimbali (hawapopichani) wakatiwaziarayakeyakutembeleakambiyawakimbiziyaNyarugusuiliyokowilayaniKasulumkoaniKigoma. KambihiyoinahifadhiwakimbizikutokanchizaJamhuriyaKidemokrasiayaKongo (DRC) na Burundi
Daktari waHospitaliyaKambiyaWakimbiziyaNyarugusu, Florence Mshana(aliyeshikakaratasi),akitoataarifakwaKatibuMkuuwaWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi,MbarakAbdulwakil(kushoto), alipotembeleahospitalihiyowakatiwaziarayakeyakutembeleakambiyawakimbiziyaNyarugusuiliyokowilayaniKasulumkoaniKigoma. KambihiyoinahifadhiwakimbizikutokanchizaJamhuriyaKidemokrasiayaKongo (DRC) na Burundi.
KatibuMkuuwaWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi, MbarakAbdulwakil(katikati), akiongozananaMkuuwaKambiyawakimbiziyaNyarugusu (B),Fredrick Nisajile(kulia) naMkuuwaShirika la UmojawaMataifa la Kuhudumiawakimbizi (UNHCR)ofisiyaKasulu, Amah Assiama –Hillgartner(kushoto) wakatiwaziarayaKatibuMkuukatikamakaziyawakimbiziyaliyopoNyarugusuwilayaniKasulumkoaniKigoma
KatibuMkuuwaWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi, MbarakAbdulwakil,akimsikilizammojawamaofisawaShirika la ChakulaDuniani(WFP) alipotembeleandaniyamahemawanakoishiwakimbizikatikakambiyaNyarugusuiliyokowilayaniKasulumkoaniKigoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.
Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...

-
Baadhi ya wanamuziki wa kundi la taarab la 5 Star wakiwa pichani. Na Mwandishi Wetu TAARIFA zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema ...
-
Mke wa Ridhiwani Kikwete (aliyembeba mtoto) akipiga picha na mkwewe Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) katika hafla ya kumpongeza baada y...
-
Ilikuwa ni harusi ya kifahari; Aprili 29 itabaki kuwa siku ya kumbukumbu ya milele kwa wanandoa Prince William pamoja na mkewe Catherine (...
No comments:
Post a Comment