Tuesday, December 28, 2010

DJ Frank kutoka U-DJ hadi U-MC


Kwa wahudhuriaji wa sherehe, hafla ama harusi mbalimbali waweza kuwa tayari wamekutana na mdau huyu, anayejulikana kama 'DJ Frank'. yeye jina kamili ni Frank Ernest na kazi yake ni u-dj. Lakini waweza usiamini sasa mdau huyu ni MC mzuri na anaendesha shughuli zake kwa mbwembwe hatari, utakuwa shahidi mzuri pale utakapo gongana naye kwenye shughuli moja. Blog ya Harusi na Matukio baada ya kugongana naye imefanya mazungumzo kwa kina, kaa tayari kuyapokea.


DJ Frank  akiwa katika moja ya sherehe.

No comments:

Post a Comment

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...