Thursday, April 14, 2016

Takukuru Wasema TAMISEMI Mwanza Wanaongoza kwa Rushwa

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rusha mkoani Mwanza (Pichani), handisi Ernest Makale, leo ametoa taarifa ya Utendaji kazi wa taasisi hiyo mbele ya Wanahabari katika kipindi cha robo mwaka (Januari hadi Machi) mwaka huu.

Katika taarifa hiyo, Mhandisi Makale amebainisha kuwa Takukuru imepokea jumla ya malalamiko 45 yanayohusiana na vitendo vya rushwa kutoka kwa wananchi ambapo katika malalamiko hayo, 27 yameelekezwa kwa watumishi wa idara za Serikali za Mitaa TAMISEMI hiyo ikiwa ni sawa na asilimia 60. Kati ya malalamiko hayo 27, malalamiko 13 yameelekezwa katika idara ya ardhi.

Wednesday, April 13, 2016

Matukio Ibada ya Kumbukumbu ya Hayati Edward Moringe Sokoine 2016





Rais Mstaafu Mzee Benjamin William Mkapa akimaliza kuweka saini katika kitabu cha Kumbukumbu ya miaka 32 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya Ibada maalumu ya Kumbukumbu ya kifo hicho katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda alipowasili kuhudhuria Ibada maalumu ya Kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Katibu Mkuu wa TEC Fr. Raymond Saba alipowasili kuhudhuria Ibada maalumu ya Kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na mtoto Balozi Joseph Moringe Sokoine alipowasili kuhudhuria Ibada maalumu ya Kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016



Wajane na binti wa aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika Ibada Maalumu ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya kifo chake katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Ibada Maalumu ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya kifo chake katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli na Rais Mstaafu Mzee Benjamin William Mkapa wakishiriki katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Sehemu ya waliohudhuria katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Viongozoi wa taasisi mbalimbali waliohudhuria katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Viongozoi wa taasisi mbalimbali waliohudhuria katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Balozi Joseph Sokoine na viongozoi wa taasisi mbalimbali waliohudhuria katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Sehemu ya watu waliohudhuria katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Sehemu ya watu waliohudhuria katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Sehemu ya kinamama na watoto wao waliohudhuria katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Wanakwaya katika Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Rais Mstaafu Mzee Benjamin William Mkapa akiongea machache wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Msemaaji wa familia akiongea wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Balozi Joseph Sokoine na wageni wengine wakisiliza hotuba wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Wageni wakisikiliza hotuba mbalimbali wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Wageni wakisikiliza hotuba mbalimbali wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Wageni wakisikiliza hotuba mbalimbali wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Mzee Kingunge Ngombale Mwiru na mkewe na wageni wengine wakifuatilia yaliyojiri Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Katibu Mkuu wa TEC Fr. Raymond Saba akiongea wakati wa Ibada maalumu ya Kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akiongea wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli na Rais Mstafu Mzee Benjamin William Mkapa wakifurahia jambo wakati wa hotuba ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016






Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na Katibu Mkuu wa TEC, Fr. Raymond Saba wakiwapa mikono familia ya Marehemu wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwapa mikono familia ya Marehemu wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwapa mikono wajane wa Marehemu wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli na Rais Mstafu Mzee Benjamin William Mkapa wakiwapa mikono wajane wa Marehemu wakati wa Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli akisi dikizwa na Balozi Joseph Moringe Sokoine baada ya Ibada ya Kumbukumbu ya miaka 32 ya Kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Moringe Sokoine katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam Jumanne April 12, 2016. PICHA NA IKULU


Maswali na Majibu Kuhudsu Google Adsense



Malipo ya Google Adsense
Maswali na Majibu Kuhudsu Google Adsense


> MIMI ni mtumiaji wa google adsense kwa kipindi cha miaka 4 iliyopita
> au zaidi , kupitia adsense nimeweza kupata kipato cha kuendesha maisha
> yangu kwa njia mbalimbali , kama ujenzi wa nyumba na uendeshaji wa
> biashara nyingine kupitia kipato hicho tu .
>
> Watu wengi wanapenda kujiunga na adsense na wengine walijiunga
> wakakata tamaa au hata wengine akaunti zao kufungiwa kutokana na
> kukiuka masharti kadhaa ya google adsense , mimi mwenyewe nilifungiwa
> mara 3 hivi na nilipoteza zaidi ya milioni 5 za kitanzania .
>
> Hili ni somo fupi kwa wale wanaopenda kujiunga na adsense au ambao
> wameshajiunga lakini wanataka kupata faida zaidi .
>
> Google Adsense ni nini ?
> Google adsense ni mfumo wa matangazo wa Google ambao unamwezesha mtu
> kitangaza bidhaa zake kwa kipato alichotacho na kumwezesha mwenye
> tovuti au blogu kufaidika kutokana na matangazo ya adsense kuonekana
> kwenye blogu yake au tovuti yake .
>
> Kwa lugha rahisi tunaweza kuita ppc Pay Per Click , Lipa kwa Click au
> mguso mmoja kwenye tangazo husika , mimi mwenye blogu hela utakuja
> kwangu kama mtu aligusa au gonga tangazo alilioona kwenye blogu yangu
> na yule aliyetangaza bidhaa zake kwenye google hela ndio inakatwa
> kutokana na click hiyo .
>
> Mimi nina blogu nyingi ambazo nimejisajili na google adsense ,
> ukiingia kwenye blogu hizo utaona matangazo yanaonekana yale matangazo
> sijaweka mimi na sijuani na walioweka matangazo hayo mimi yangu ni
> blogu na nafasi ya kutangaza niliyoiweka kwenye blogu .
>
> Unajiungaje na Adsense ?
>
> Adsense ni mali ya Google ni lazima au vizuri uwe na barua pepe ya
> gmail ambayo ni ya google au nyingine ambayo itakuwezesha kuweza
> kusajili adsense kwa urahisi lakini ni vizuri iwe imesajiliwa google .
>
> Usajili unakuwaje ?
> Tembelea 
www.google.com/adsense ukishasajili inachukuwa siku 15 kwa
> tovuti yako au blogu yako kuangaliwa kama inakidhi viwango vya google
> adsense kama lugha ,picha ,maudhui ,rangi na copyrights .
>
> Unaposajili unapewa CODE maalumu ambazo unaweza kuweka kwenye kurasa
> za tovuti au blogu yako kwa ajili ya kuanza kuonyesha matangazo
> mbalimbali .
>
> Nikisema lugha nina maanisha utumie lugha zinazokubalika na adsense
> kama kiingereza , kifaransa na nyingine za kimataifa Kiswahili
> hakitakiwi labda uchanganye ,kama blogu au tovuti yako ina picha chafu
> haitakiwi , rangi zake ziwe nzuri zisiingilie maslahi ya matangazo ya
> adsense na angalia milki ya vile unavyoweka .
>
> Baada ya siku 15 inakuwaje ?
>
> Baada ya siku 15 utapata email kama umekubaliwa au umekataliwa kama
> imekataliwa unaweza kuangalia ulichokosea na kubalisha kwa kukata
> rufaa unatakiwa ujaze appeal form ambayo nayo itaangaliwa kwa siku
> 15 .
>
> Kama umekubaliwa basi unatakiwa kuingiza dola 100 au euro 70 , hela
> hizi zinapatikana kutokana na matangazo yanayoonekana kwenye blogu au
> tovuti yako , ukiwa na kipato hicho utatumiwa kadi yenye namba ya siri
> ambayo utaingiza kwenye akaunti yako ili uweze kukamilisha usajili
> wako wa adsense , mlolongo huu unaweza kuchukuwa miezi 2 hivi .
>
> Unalipwaje ?
>
> Inategemea umechagua mfumo gani wa kulipwa , kuna mifumo 3 hivi
> inayojulikana zaidi .
>
> a)    Cheki – njia hii ilikuwa inatumika zaidi zamani hata sasa hivi kwa
> baadhi ya nchi na wale wanaopenda , kwa wale wa afrika inachukuwa siku
> 7 kupata cheki yako hapo utakatwa euro 17 kwa ajili ya kusafirisha
> cheki hiyo ,halafu unatakiwa kuingiza cheki kwenye akaunti yako ya
> benki ambapo inachukuwa siku 21 kulipwa au zaidi ya hapo – benki
> nyingine hazikubali cheki hizi kwahiyo wanaweza kukataa , kama
> ikikubali benki itakata hela ya kuprocess cheki .
>
> b)    Uhamisho wa Benki – Njia hii pia ni nzuri lakini kuna hela Fulani
> unakatwa kwa ajili ya kuhamisha hela kutoka nchi moja kwenda nyingine
> kwa njia ya benki na sio benki zote zenye huduma hii na inategemeana
> na kiwango cha hela inayotumwa kama ni ndogo sana inaweza kuwa tabu
> kidogo .
>
> c)    Western union – Hii ndio bora na ya haraka zaidi mara nyingi
> inalipwa kila mwisho wa mwezi unaofuatia kama ulipata dola 600 mwezi
> wa 3 utalipwa mwezi wa 4 mwishoni baada ya mahesabu kukamilika na
> baada ya kukatwa kodi na masuala mengine muhimu .
>
> NINI KISICHOTAKIWA ?
>
> 1 – Huduma nyingine za Matangazo , Kwa sababu adsense ni Pay Per Click
> ni bora usiweke matangazo mengine ya PPC kwa sababu yataingiliana na
> maslahi ya adsense unaweza kufungiwa au kuweka huduma nyingine za
> matangazo ambazo zinaweza kuzorotesha huduma za matangazo ya adsense .
>
> 2 – Kulazimisha watu kugonga au click au wewe mwenyewe kufanya hivyo ,
> hutakiwi kulazimisha watu kugonga matangazo ili ujiongezee
> kipato ,waache waangalie na kuamua wenyewe , kazi yako iwe ni kuweka
> taarifa za kutosha kwenye blogu au tovuti yako zinazovutia watu
> kutembelea na kuvutia watu wa masoko kupitisha matangazo yao kwenye
> kurasa zako .
> Hiyo namba moja ndio ya kwanza na muhimu zaidi nyingine ni Lugha ,
> haki miliki , picha chafu na rangi nzuri kwenye kurasa zako ambazo
> zitafanya matangazo kuonekana vizuri .
>
> FAIDA KWA MWENYE BLOGU TOVUTI
> Kutegemeana na aina ya blogu yako na maudhui lakini blogu au tovuti
> ili iweze kupata zaidi ya dola 15 kwa siku inatakiwa angalau kuwa na
> watembeleaji wa siku moja zaidi ya alfu 3000 , wanaotembelea toka nchi
> zinazoendelea na kuclick toka nchi za ulaya ndio wenye fedha na
> kuwezesha kulipwa vizuri zaidi kuliko nchi za afrika .
>
> Kwa Tanzania blogu ya kawaida yenye watembeleaji kati ya 2000 au 4000
> kwa Tanzania inatakiwa iwe na shilingi laki 9 kwa mwezi mmoja au zaidi
> kama kipato chake
>
> FAIDA KWA WATANGAZAJI /WAFANYABIASHARA.
> Utangazaji kwa kupitia adsense ni rahisi na fedha yako inaenda
> kihalali na ni rahisi kutokana na bajeti yako kama umepanga kutangaza
> kwa laki 1 kwa mwezi na unataka tangazo lako lionekane Tanzania pekee
> basi kwa kupitia adsense hiyo inawezekana kama unataka lionekana kwa
> lugha ya kiingereza pekee na lionekane japan au korea hilo
> linawezekana ni wewe kuamua na kufanikisha hilo kupitia adsense .
>
> Kama wewe ni mfanyabiashara huhitaji kuhangaika kutafuta blogu au
> tovuti kubwa kutangaza bidhaa zako ambako inaweza kuwa gharama zaidi
> na kupata nafasi ni finyu , fikiria adsense ifanyie kazi .
>
> ADSENSE INAWEZA KUWA AJIRA TOSHA ?
> Inategemea na mipango yako lakini adsense sio ya kuitegemea sana kama
> usipofuata taratibu unaweza kufungiwa lakini kama ukifuata masharti na
> kukaa nayo vizuri inaweza kuwa ajira yako inayokulipa vizuri na
> kufanya maisha yako kwenda vizuri .
>
> ADSENSE SIKU ZIJAZO .
> Sasa hivi watu wanatumia simu za mikononi na vifaa vingine kwa ajili
> ya kutembelea tovuti na blogu sio komputa kama zamani , kama ni
> mtumiaji wa adsense jiandae kwa hilo hakikisha matangazo yako ni
> mepesi na yanaweza kuonekana au kusomeka na watu wanaotuvmia vifaa
> hivi na kukulipa vizuri bila usumbufu mwingine .
>
> Kama unapenda kujua zaidi kuhusu adsense na msaada zaidi unaweza
> kunipigia kwa +255786806028 kama sipatikani andika sms kama uko Dar es
> salaam au Nairobi au Juba ni rahisi kuonana tunaweza kusaidiana .
>
Imeandaliwa na Yona F Maro

Monday, April 11, 2016

Kampeni ya kupinga ukatili wa Kijinsia katika Masoko...!

 Mwenyekiti wa Soko la Kisutu Tamimu Chande akizungumza katika Kampeni ya Kuongeza uelewa wa kupinga ukatili wa Kijinsia katika Soko la Kisutu Dar es Salaam leo asubuhi. Kampeni hiyo inaendeshwa na Shirika la Eqiuality for Growth (EfG).
Mmoja wa kiongozi wa Soko la Kisutu akifungua mkutano wa kampeni hiyo.
Meneja wa Mradi huo kutoka Shirika la Equality for Growth, Grace Mateh akizungumza kwenye kampeni hiyo.
Mfanyabiashara wa Soko hilo, Bazalo Tazoni akizungumza katika kampeni hiyo.
Ofisa Maendeleo wa Kata ya Mchafukoge, Domonica Balama akizungumza katika kampeni hiyo.
Mfanyabiashara katika Soko hilo, Charles Mloka akichangia jambo kwenye kampeni hiyo kuhusu wanawake wafanyabiashara kujitambua kuhusu ukatili wa jinsia masokoni.
Mfanyabiashara Godfred Kijange akichangia kuhusu wanawake kuwa chanzo cha ukatili wa kijinsia.
Katibu wa Soko la Kisutu, Suitebet Nyawalle akizungumzia kuhusu vitendo vya ukatili masokoni.
Katibu wa Soko la Kisutu, Suitebet Nyawalle akiserebuka na wasanii wa kundi la machozi katika kampeni hiyo.
Wasanii wa kundi la machozi wakitoa burudani katika kampeni hiyo.
Taswira katika kampeni hiyo.
Burudani zaidi kutoka kundi la machozi zikiendelea hapo ni Babu na Bibi wakifanya vitu vyao.
Igizo la kupinga ukatili wa kijinsia kutoka kundi la machozi likifanyika.

Mfanyabiashara wa Soko hilo Editha Mtembei akichangia jambo.
Vijana wakishangia kwenye kampeni hiyo.
Picha ya pamoja kati ya viongozi wa soko hilo na viongozi kutoka EfG.

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...