Saturday, September 15, 2012

Send off ya Bi Hilder Mwaipopo

Send off ya : Hilder Mwaipopo
Ilifanyika: Ukumbi wa Anglikana Iringa
Rangi ya Send off : Paple na Silva
Tarehe: 18/08/2012

Bi harusi mtarajiwa Hilder.


 Bi harusi  mtajajiwa (kushoto) akiwa na mpambe wake Bi Nuru.
 
 

 Pichani juu ni Bi harusi  mtajajiwa Hilder (kushoto) akiwa na mpambe wake Bi Nuru baada ya kuwasili ukumbini.




Bi harusi mtarajiwa Hilider wa pili kushoto akijiaandaa kufungua mvinyo.

Bi harusi  mtajajiwa (kushoto) akiwa na mpambe wake Bi Nuru wakinywa kwa furaha mvinyo ulioandaliwa kwa ajili yao.



 Bi harusi  mtajajiwa (kushoto) akiwa na Bwana harusi mtarajiwa Bw. Joachim Mushi baada ya kumtambulisha.

Hatimaye ukawadia wakati wa msosi uliandaliwa kwa mtindo wa kinyakyusa zaidi.



Harusi ya Mr Magila na Adelgundes



 Pichani juu ni maharusi Gide Magila na mkewe Bi. Adelgundis wakigonganisha glasi za mvinyo kabla ya kunyweshana katika harusi yaoiliyofanyika jijini Dar es Salaam Julai 27, 2012 kwenye Ukumbi wa Flamingo Mbezi Makonde.

 Maharusi Gide Magila na mkewe Bi. Adelgundis (katikati) wakiwa na glasi za mvinyo pamoja na wasimamizi wao.

 

 Wageni waalikwa katika harusi ya Bw. Gide Magila na mkewe Bi. Adelgundis wakicheza miondoko ya kwaito.


 Bi. Adelgundis (kulia) na mpambe wake wakicheza miondoko ya kwaito pamoja na wageni waalikwa.


Mama mzazi wa Bwana harusi (mwenye suti) akiwa pamoja na marafiki.  

 Mama mzazi wa Bwana harusi (mwenye suti) akiwa pamoja na wanandugu. 


 Flowers wakipokea zawadi za maharusi.

Dada wa Bwana harusi (Kulia) akiwa na mmoja wa marafiki.

Thursday, July 5, 2012

Harusi ya Oltesh Eliguard na Ssanyu Sylvia jiji Dar

 
 Maharusi, Oltesh Eliguard Metili na Ssanyu Sylvia Nyinondi wakiaga watu mbalimbali waliofika ndani ya Kanisa la Azania Front, mara baada ya kufunga ndoa yao takatifu, katika kanisa hilo la jijini Dar es Salaam.


 Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu, Dk. Alex Malasusa akizibariki pete za ndoa za maharusi kabla ya maharusi hao kuvishana.



Maharusi wakilishana kiapo cha ndoa mbele ya umati mkubwa (haupo pichani) uliofika kanisani hapo mapema leo mchana kuishuhudia ndoa hiyo ya Oltesh Eliguard Metili na Ssanyu Sylvia Nyinondi, iliyofanyika ndani ya kanisa la Azania Front.
 
 Maharusi wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa na kuwa mwili mmoja mapema leo ndani ya Kanisa la Azania Front jijini Dar es Salaam.

Pichani kushoto ni Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na Mkewe, Mama Regina Lowassa wakishuhudia pia tukio hilo adhimu na la kihistoria kwa Wanandoa.

Siku Angaza Mwipopo alipoungana maisha na Chivanenda

 Hapa Jaji Mkwawa Akimkabidhi mkuki Bwana Harusi Angaza Mwipopo ikiwa ishara ya kujilinda pamoja na mkewe Chivanenda Luwongo


 Bwana Harusi Angaza Mwipopo na Mkewe Chivanenda Luwongo wakiwa na wasimamizi wao siku ya harusi yao.


Katibu mkuu kiongozi mstaafu Phillemon Luhanjo akiteta jambo na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora katika serikali ya awamu ya tatu, Wilson Masilingi pamoja na waheshimiwa majaji

Tuesday, May 15, 2012

Harusi ya Christopher na Jannifer


 Christopher na Jennifer wakiwa katika pozi la picha mara baada ya kufunga pingu za maisha.


 Bwana Harusi Christopher (kulia) akimvisha pete mkewe Jannifer katika ibada ya ndoa yao iliyofanyika Jumamosi ya Februari 18 kwenye Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam.


 Wapambe wa maharusi wakiwa katika picha pambo ya maharusi mara baada ya ibada ya ndoa yao.


 Christopher na Jennifer katikati wakiwa na mama mzazi wa Jannifer (kulia) pamoja na mjomba Sumi kushoto.


Bwana Harusi Christopher akiwa na mkewe Jannifer. Picha zote kwa Hisani ya Fullshangwe Blogu.

Friday, March 16, 2012

Harusi ya Godluck na Neema


Neema akimvisha pete mumewe Godluck kanisani


Godluck na mkewe Neema wakiwa katika picha ya pamoja na ndugu, jamaa na marafiki na wasimamizi wao baada ya kutoka kanisani.


Maharusi Godluck na Neema wakiingia ukumbini tayari kwa hafla ya harusi yao. 


Wapambe wa maharusi wakiwa katika pozi. (Picha zote kwa hisani ya Harusini Blog)

Tuesday, February 21, 2012

Harusi ya Fredy na Ephracia jijini Dar es Salaam

Januari 21, 2012 itabaki kuwa siku kubwa ya kumbukumbu kwa maharusi Fredy pamoja na mkewe Ephracia baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa la Mwenge jijini Dar es Salaam, na kufuatia na tafrija kubwa iliyofanyika katika Ukumbi wa Mbezi Garden Hotel - Dar es salaam.

Maharusi Fredy (kulia) pamoja na mkewe Ephracia (kushoto) wakipozi na watoto wazuri waliosimamia harusi yao.


Mvinyo rasmi wa sherehe hiyo tulifungua wenyewe!


Fredy pamoja na mkewe Ephracia


Kwa ishara ya upendo tuliwatembelea na kuwapa zawadi watoto yatima kusherehekea pamoja (Picha zote kwa hisani ya Harusini Blog)

SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...