Friday, January 20, 2017

HakiElimu yazinduwa mpango mkakati wa miaka mitano 2017-2021


Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Hakielimu, Martha Qorro (kushoto) na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Katarina Rangnitt (wa pili kulia) wakifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano wa Hakielimu jijini Dar es Salaam. Kulia akishuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Hakielimu, Martha Qorro (kushoto) na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Katarina Rangnitt (wa pili kulia) wakifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano wa Hakielimu jijini Dar es Salaam. Kulia akishuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage akizungumza na wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano (2017-2021) wa Hakielimu.

Mmoja wa waanzilishi wa taasisi ya HakiElimu, Japhet Makongo akizungumza na wageni waalikwa kabla ya uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano (2017-2021) wa taasisi ya Hakielimu.

Dk. Jovita Katabalo akiwasilisha mada katika hafla ya uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano (2017-2021) wa taasisi ya Hakielimu.

Baadhi ya wanafunzi walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano (2017-2021) wa taasisi ya Hakielimu wakifuatilia matukio mbalimbali katika hafla hiyo.

Kutoka kushoto (2) ni sehemu ya wanachama waanzilishi wa Taasisi ya HakiElimu wakiwa na wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano (2017-2021) wa taasisi ya Hakielimu.

Sehemu ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano (2017-2021) wa taasisi ya Hakielimu.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage (kulia) akijadiliana jambo na mmoja wa wageni waalikwa katika uzinduzi huo. 

Sehemu ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika hafla hiyo.


Baadhi ya wanachama waanzilishi wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika uzinduzi huo.

Baadhi ya wafanyakazi wa taasisi ya HakiElimu wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa mpango mkakati wa miaka mitano (2017-2021) wa taasisi hiyo.

Sehemu ya wageni waalikwa katika uzinduzi huo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu, John Kalage (wa kwanza kushoto) akiwa na baadhi ya wageni waalikwa na viongozi mbalimbali katika hafla ya uzinduzi huo. 


Wednesday, January 18, 2017

Makosa ya watumiaji barabara yanavyoatarisha maisha ya watumiaji wengine

Eneo hili ni kivuko cha waenda kwa miguu kilichomo borabara ya Mandela jijini Dar es Salaam. Pichani waenda kwa miguu wanavuka japo kuna magari ambayo yameingia ndani ya hifadhi ya kivuko hicho kimakosa. Watumiaji wengi wa barabara wamekuwa wakijisahau katika maeneo haya. 



Wakati mwingine waenda kwa miguu hulazimika kuvuka wakati magari yakipita eneo la kivuko, kwa kile watumiaji wengi wa barabara hasa madereva kutotoa kipaumbele katika maeneo hayo. Pichani mwananchi akivuka moja ya kivuko kilichomo borabara ya Mandela jijini Dar es Salaam.


Wakati mwingine waenda kwa miguu husubiri kwa muda mrefu kabla ya hulazimika kuvuka wakati magari yakitembea eneo la kivuko, kwa kile watumiaji wengi wa barabara hasa madereva kutotoa kipaumbele katika maeneo hayo. Pichani wananchi wakisubiri kuvuka moja ya kivuko kilichomo borabara ya Mandela jijini Dar es Salaam.



Wakati mwingine waenda kwa miguu hulazimika kuvuka huku wakikimbia katika eneo la kivuko kana kwamba hawaruhusiwi kwa kile madereva wengi kutotoa kipaumbele katika maeneo hayo. Pichani mwananchi akivuka huku akikimbia katika moja ya kivuko kilichomo borabara ya Mandela jijini Dar es Salaam.



Na hapa watumiaji wa kivuko cha waenda kwa miguu wakivuka kwa kukimbia eneo la kivuko kwa kile madereva wengi kutotoa kipaumbele katika maeneo hayo.



Moja ya gari likiwa limesimama katika voleni na kuziba kivuko cha waenda kwa miguu, huku mtumiaji wa kivuko akiwa amesimama katikati ya kivuko hicho kwa kushindwa kuvuka.



Watumiaji wengi wa vyombo vya moto barabarani hukiuka sheria ya usalama barabarani hasa kwenye vuvuko vya waenda kwa miguu. Pichani ni bodaboda na abiria wake wakitumia kivuko cha waenda kwa miguu kinyume na sheria.

Baadhi ya wananchi na abiria wa daladala linalofanya safari zake Mwenge Posta wakilisukuma gari lililogongana na kuacha njia. Kwa mujibu wa mashuhuda gari hili lililokuwa likitanua kabla ya kuingia barabarani gafla na kusababisha ajali Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam.


Mwendesha bodaboda pamoja na abiria wake akitumia barabara eneo lisilo sahihi jambo ambalo ni hatari kwa watumiaji wengine. Pamoja na hayo dereva huyu na abiria wake hawajavaa kofia ngumu jambo ambalo ni kosa lingine kisheria.

Mwendesha bodaboda pamoja na abiria wake wakiwa barabarani na kuvunja sheria kwa kile kutovaa kofia ngumu jambo ambalo ni kosa kisheria.


Kutokuzingatia sheria kunasababisha ajali kama hizi ambazo hupoteza maisha ya watu na mali na kufanya uharibifu. Pichani magari yakiwa yamegongana eneo la Tabata Segerea. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo gari la upande wa kushoto lilikuwa likitumia upande usio wake jambo ambalo ni makosa. 


Waendesha bodaboda wakiwa wameegesha bodaboda zao eneo la hifadhi ya barabara jambo ambalo ni hatari kwao. Pichani wakishauriwa kuondoka eneo hilo na mmoja wa maofisa wa Kikosi cha Usalama Barabarani eneo la Mbezi Standi Mpya. 


Waendesha bodaboda wakiwa wameegesha bodaboda zao eneo la hifadhi ya barabara jambo ambalo ni hatari kwao. Pichani wakishauriwa kuondoka eneo hilo na mmoja wa maofisa wa Kikosi cha Usalama Barabarani eneo la Mbezi Standi Mpya. 

Wednesday, January 11, 2017

Rais Magufuli Afanya Mazungumzo na Mjumbe wa Rais wa Nigeria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kumkaribisha Profesa Ibrahim Gambari ambaye ni Mjumbe maalum wa Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari aliyefika Chato mkoani Geita kwa ajili ya mazungumzo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Profesa Ibrahim Gambari ambaye ni Mjumbe maalum wa Rais wa Nigeria Chato mkoani Geita.

TTCL YAKANUSHA TAARIFA YA GAZETI LA THE EAST AFRICAN

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri W. Kindamba.


TAARIFA KWA UMMA 

KAMPUNI YA SIMU TANZANIA TTCL, INAPENDA KUUJULILISHA UMMA KUWA,TAARIFA ILIYOCHAPISHWA KATIKA UKURASA WA MBELE WA GAZETI LA THE EAST AFRICAN TOLEO NAMBA 1158 LA TAREHE 07-13 JANUARI 2017 KUHUSU TTCL KUONGEZEWA MUDA WA KUJIUNGA NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM SIO SAHIHI. TTCL KAMA ZILIVYO KAMPUNI NYINGINE ZA MAWASILIANO,

 INAWAJIBIKA KUTEKELEZA SHERIA NA MAELEKEZO YA SERIKALI PASIPO KISINGIZIO CHOCHOTE NA IMEKUWA IKIFANYA HIVYO KILA MARA KUNAPOKUWA NA MAELEKEZO YANAYOHITAJI UTEKELEZAJI.

TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWETU NI KUWA, TTCL INATEKELEZA KIKAMILIFU SHERIA INAYOTUTAKA KUJIUNGA NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM NA TAYARI TUMESHAWASILIANA NA MAMLAKA HUSIKA NA KUCHUKUA HATUA KADHAA ILI KUTEKELEZA KIKAMILIFU TAKWA HILI LA KISHERIA. PAMOJA NA TAARIFA HII KWA UMMA,

TUNAENDELEA KUWASILIANA NA UONGOZI WA GAZETI HUSIKA ILI KUREKEBISHA KASORO ZILIZOJITOKEZA KATIKA TAARIFA YA GAZETI LAO TOLEO TAJWA HAPO JUU NA KUANDIKA KWA USAHIHI TAARIFA HII KWA KUZINGATIA MISINGI YA TAALUMA YA UANDISHI WA HABARI.

IMETOLEWA NA,
WAZIRI W. KINDAMBA KAIMU AFISA MTENDAJI MKUU- TTCL 10 JANUARI, 2017

Tuesday, January 10, 2017

KARIMJEE JIVANJEE FOUNDATION REWARDS YOUNG SCIENTISTS 2016

Diana Sosoka and Nadhra Mresa 


Young Scientists Tanzania (YST) Executive Director, Dr Gozbert Kamugisha 


Dr Kamugisha with scholarships



Diana Sosoka, Nadhra Mresa and their teacher Mr Rashid Namila. 


THE Karimjee Jivanjee Foundation (KJF) has rewarded Diana Sosoka and Nadhra Mresa from Mtwara Girls Secondary School for being overall winners of the Young Scientists Tanzania (YST) Awards in 2016. Speaking at a press event to send off the winners to Dublin, Ireland, the KJF Team said the winners would receive scholarship from the foundation to study at any local university when they complete their high school education.


They both take a combination of Chemistry, Biology and Geography and aspire to be medical doctors. The students are travelling to Dublin today to attend the BT Young Scientists and Technology Exhibition, an Irish annual school students’ science competition, which aims at encouraging interest in science in primary, and secondary schools.

Speaking at the event, the students thanked their school teacher, Mr. Rashid Namila their Biology teacher, whom they said has been a fundamental to their success. They also thanked the YST, led by Dr. Gozbrt Kamugisha, and the KJF for making their dreams come true.

“Our innovation was based on a locally made incubator to help the women around our school to raise chicken after seeing them come to our school every day to seek for leftovers sue to the poverty situation that has engulfed them,” they said, adding that their technology has inspired various people around Mtwara and across the country to go and learn.

Ms. Eliavera Timoth, the Foundation’s Deputy Marketing Manager, speaking on behalf of KJF Manager Ms. Devota Rubama, said KJF was a non-governmental organization that was registered in 2009 and commenced its operation in 2010 with commitment to support the Tanzanian community, specifically improving education sector.

“The education sector is the core charity notably by providing scholarships to young Tanzanians to be able to accomplish their studies at university level,” she was quoted as saying, adding that the scholarships were provided to students under the category of science in an effort to join hands with to government initiatives, targeting on encouraging students to pursue science subjects.

“We are eager to ecourage and support Tanzania young students to be able to develop various innovative skills through science for the betterment of the nation,” she said.

Speaking of the YST scholarships, Ms. Eliavera said since 2012 the Foundation has provided 17 scholarships to students in the categories of overall winners and winners in special school in need.

“Every year KJF provide 4 schholarships to winner of YST awards to study at university level. We have already provided scholarships to students from Kibosho Secondary School (2012 – 3 scholarships overall winners); Ilongelo Secondary School of Singida (2013 – 2 overall winners scholarships); and Fidel Castro –Pemba (2013 – 2 special school in need scholarships),” Ms. Eliavera said.

Other scholarships were Lumumba Secondary School – Zanzibar (2014 – 2 overall winners); Ngongo Secondary School – Lindi (2014 – 2 special school in need scholarships); Mzumbe Secondary School – Morogoro (2015 – 2 overall winners); Nasa Secondary School – Simiyu (2015 – 2 special school in need); Mtwara Girls (2016 – 2 overall winners); and Binza Secondary School – Simiyu (2016 – 2 special school in need scholarships).

However, Ms. Eliavera said, KJF is planning to launch a dual Masters’ degree in African Cinservation at the University of Glasgow, Scotland and Nelson Mandela University – Afican Institution of Science and Technology in Arusha. The programme, according to her, is for two years and KJF will provide three scholarships for students to study two terms at Glasgow University and eight terms at Nelson Mandela University.

“The Foundation has been giving scholarships to Doctors to graduate for a Masters’ degree programme in Paediatric Oncology at Muhimbili University of Health and Alllied Sciences (Muhas), two doctors graduated in 2015 and one in 2016,” Ms. Eliavera said.

The Honorary Chairman of Karimjee Jivanjee Group of Companies in Tanzania, Hatim Karimjee said: “We are very honoured to support the Young Scientists Tanzania Award because we believe that education is very important to the future development of Tanzania, and also because science education in particular can open opportunities for higher level career development.”

KJF is the primary vehicle for the Karimjee family’s charitable work. The mission of the Foundation is to invest in education as a means to enhance the economic development of Tanzania. At present, many young Tanzanians continue to benefit from scholarships from KJF, which enable them to follow their dreams and to make a greater contribution to Tanzania as a result of their education.

In addition to these scholarships, the Foundation also supports Read International and others; works with Wonder Workshop and is working to boost the capacity for management of pediatric oncology in Tanzania.

Hatim Karimjee said, although KJF’s main focus at the moment is funding educational institutions to improve education capacity, the Karimjee family established several charitable trusts in the 1950’s before independence.

“We have built many schools, hospitals, dispensaries, mosques and community centres. The most famous of our donations is the Karimjee Hall. We built and donated this building to the Dar es Salaam Municipal Council in 1957 as a Town Hall. It was later adapted to become the official seat of Parliament. Independence was declared in Karimjee Hall on 9th December 1961,” he said.

Other important donations by the Karimjee family have been the Usagara Secondary School in Tanga (Formerly Karimjee Secondary School), the Karimjee Clin in Mnazi Mmoja – Dar es Salaam, the old Karimjee Hospital in Zanzibar and the recent donation of 100 desks to Mkwakwani Secondary School in Tanga, a donation that was made to support the Government’s effort to offset the existing countrywide shortage of desks in primary and secondary schools.

The Karimjee Jivanjee Foundation is funded by donations from Toyota Tanzania, one of Tanzania’s biggest and compliant taxpayers, which is celebrating its 50th anniversary as the sole and authorized Toyota distributor in Tanzania since 1965.

Monday, January 9, 2017

Rais Magufuli atembelea shule aliyosoma utotoni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akifurahia pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Chato mkoani Geita. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Dk. Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza mpaka Darasa la Saba. Rais Dk. Magufuli amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwasababu yeye pia alisoma shuleni hapo. Picha na Mpigapicha Maalum


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akifurahia pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Chato mkoani Geita. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Dk. Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza mpaka Darasa la Saba. Rais Dk. Magufuli amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwasababu yeye pia alisoma shuleni hapo. Picha na Mpigapicha Maalum.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa katika benchi la kibanda cha kupigia kiwi (Shoe Shine) pamoja na wakazi wengine wa Chato katika eneo maarufu kama Stendi za zamani Chato mkoani Geita. Kibanda hicho cha Kiwi ndicho Rais Dk. Magufuli alichokuwa akisafishiwa viatu  vyake kabla ya kuwa Rais, pia ni sehemu ambayo alikuwa akipenda kukaa na  kubadilishana mawazo na wakazi wa Chato wakati akiwa mapumzikoni kipindi cha Nyuma.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa katika benchi la kibanda cha kupigia kiwi (Shoe Shine) pamoja na wakazi wengine wa Chato katika eneo maarufu kama Stendi za zamani Chato mkoani Geita. Kibanda hicho cha Kiwi ndicho Rais Dk. Magufuli alichokuwa akisafishiwa viatu  vyake kabla ya kuwa Rais, pia ni sehemu ambayo alikuwa akipenda kukaa na  kubadilishana mawazo na wakazi wa Chato wakati akiwa mapumzikoni kipindi cha Nyuma.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akifurahia pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Chato mkoani Geita. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Dk. Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza mpaka Darasa la Saba. Rais Dk. Magufuli amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwasababu yeye pia alisoma shuleni hapo. Picha na Mpigapicha Maalum

TTCL yadhamini michuano ya vyuo Soka la Ufukweni


Mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es salaam wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Jane Mwakalebela (wa tatu kushoto) akimkabidhi nahodha wa timu ya Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es Salaam (CBE), Ally Rabi (wa tatu kulia) fedha shs 600,000/- pamoja na laini za TTCL za 4G LTE zenye muda wa maongezi wa simu na intaneti (10GB) kwa muda wa mwezi mmoja baada ya kuibuka washindi wa Mashindano ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer'. CBE ilikifunga Chuo cha Ardhi mabao 2-0 katika mchezo wa fainali uliofanyika Ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es Salaam.

Wachezaji wa timu ya Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es Salaam (CBE), wakiwa katika picha ya kumbukumbu na Mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es salaam wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Jane Mwakalebela (wa nne kushoto) mara baada ya kukabidhiwa zawadi ya fedha shs 600,000/- pamoja na laini za TTCL za 4G LTE zenye muda wa maongezi wa simu na intaneti (10GB) kwa muda wa mwezi mmoja baada ya kuibuka washindi wa Mashindano ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer'. CBE ilikifunga Chuo cha Ardhi mabao 2-0 katika mchezo wa fainali uliofanyika Ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es Salaam.


Meneja Uhusiano wa TTCL, Nicodemus Mushi (wa pili kushoto mbele) akizungumza kwa niamba ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri W. Kindamba kwenye hafla ya uzinduzi wa mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yaliofanyika jijini Dar es Salaam kwenye ufukwe wa Coco Beach na kushirikisha vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es Salaam wa Kampuni ya  TTCL, Jane Mwakalebela akiwa katika uzinduzihuo.

Mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es salaam wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Jane Mwakalebela (katikati) akimkabidhi kiasi cha fedha shilingi laki nne (400,000/-) pamoja na laini za TTCL za 4G LTE zenye muda wa maongezi wa simu na intaneti (5GB) kwa muda wa mwezi mmoja nahodha wa timu ya Chuo cha Ardhi (kulia) baada ya kuibuka washindi wa pili wa Mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yaliyoshirikisha vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam chini ya uratibu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF). Mashindano hayo yalifanyika Ufukwe wa Coco Beach jana. Kulia ni Bw. Dimo Dibwe muandaaji wa mashindano hayo.

Baadhi ya waamuzi wa Mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yaliyoshirikisha vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam wakijadiliana jambo kabla ya mechi kuendelea.


Mapambano mbalimbali ya mechi za Mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yakiendelea.


Mapambano mbalimbali ya mechi za Mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yakiendelea.


Mapambano mbalimbali ya mechi za Mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yakiendelea.


Mapambano mbalimbali ya mechi za Mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yakiendelea.


Wakati mashindano hayo yakiendelea wanafunzi wa vyuo waliendelea kujishindia zawadi mbalimbali. Kushoto ni Ofisa Masoko wa TTCL, Eric Muganda akimkabidhi vocha ya muda wa maongezi wa thamani ya shs10,000/- baada kushinda moja ya michezo iliyoambatana na zawadi kwa wanafunzi waliokuwa wakishiriki mashindano ya soka la ufukweni. 


Baadhi ya timu zilizoshiriki Mashindano ya vyuo Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' zikishangilia baada ya kushinda mechi za awali.


Mbwembwe za mabingwa...! Mabingwa wa Mashindano ya Vyuo Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' wakiwa katika moja ya pozi mara baada ya kutangazwa kuwa mabingwa.

Kikosi cha Timu ya Chuo cha Ardhi ambao waliibuka washindi wa pili katika Mashindano ya Soka la Ufukweni 'TTCL Inter College Beach Soccer' yaliyoshirikisha vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa TTCL ambao ni wadhamini wa mashindano hayo.






SEIF SHARIFF HAMAD AKIRI KUWA YEYE NI BABU KIZEE.

Seif Shariff Hamad Seif Shariff Hamad KWA mara ya kwanza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Seif Shariff Hamad amek...